Tuesday, February 21, 2023
AdvertismentGoogle search engineGoogle search engine
HomeGeneral NewsActual Madrid wakomoa Osasuna na kuendelea kuifuata Barcelona kwenye mbio za kusaka...

Actual Madrid wakomoa Osasuna na kuendelea kuifuata Barcelona kwenye mbio za kusaka taji la La Liga – Taifa Leo

Real Madrid wakomoa Osasuna na kuendelea kuifuata Barcelona kwenye mbio za kusaka taji la La Liga

Actual Madrid wakomoa Osasuna na kuendelea kuifuata Barcelona kwenye mbio za kusaka taji la La Liga

Na MASHIRIKA

REAL Madrid wanaendelea kuifuatwa Barcelona baada ya kukomoa Osasuna 2-0 ugenini katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumamosi.

Actual walikosa huduma za mfumaji Karim Benzema kwenye safu ya mbele katika mchuano huo ulioshuhudia wakifungiwa mabao na Federico Valverde na Marco Asensio.

Mabingwa hao watetezi wa La Liga walipoteza nafasi za kufunga mabao zaidi kupitia kwa Vinicius Jr. Alvaro Rodriguez na David Alaba nao walimtatiza pakubwa kipa Sergio Herrera wa Osasuna.

Baada ya mechi za Jumapili, Actual sasa wanakamata nafasi ya pili kwenye msimamo wa jedwali la La Liga kwa alama 51 zikiwa ni nane nyuma ya FC Barcelona waliokomoa Cadiz 2-0 na kufikisha alama 59 juu ya jedwali. Nao Osasuna wanafunga mduara wa 10-bora kwa pointi 30.

MATOKEO YA LA LIGA (Jumamosi):

Actual Betis 2-1 Actual Valladolid

Osasuna 0-2 Actual Madrid

Actual Sociedad 1-1 Celta Vigo

Mallorca 4-2 Villarreal

TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO