Wednesday, March 1, 2023
AdvertismentGoogle search engineGoogle search engine
HomeGeneral NewsNilipata idhini ya Musalia kuingia UDA, adai Malala – Taifa Leo

Nilipata idhini ya Musalia kuingia UDA, adai Malala – Taifa Leo

Nilipata idhini ya Musalia kuingia UDA, adai Malala

Nilipata idhini ya Musalia kuingia UDA, adai Malala

NA BENSON AMADALA

SENETA wa zamani wa Kakamega Cleophas Malala ametetea uamuzi wake wa kuhama ANC na kujiunga na UDA, akisema alichukua hatua hiyo baada ya mashauriano.

Bw Malala aliyeshindwa kwenye kinyang’anyiro cha ugavana Kakamega, aliteuliwa Katibu Mkuu mpya wa chama cha UDA Jumatatu.


Source link

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -spot_img

Most Popular

Home
News
RSS