
Presha Pep akizuru Leipzig kipute cha UEFA leo usiku
NA MASHIRIKA
BERLIN, Ujerumani
MICHUANO ya Klabu Bingwa barani Ulaya inaendelea leo Jumatano, huku kukiwa na pambano kubwa kati ya RB Leipzig ya Ujerumani na Manchester Metropolis ya Uingereza chini ya kocha Pep Guardiola.
RB Leipzig wanaokamata nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) ndio wenyeji kwenye mechi hiyo itakayochezewa Crimson Bull Enviornment kuanzia saa tano usiku.
Vijana hao wa kocha Marcos Rose wanaingia uwanjani baada ya kuandikisha ushindi mkubwa wa 3-0 dhidi ya VfL ligini mwishoni mwa wiki, watatakiwa kujitahidi ili kupata ushindi mkubwa kama huo.
Manchester Metropolis, kwa upande wao wanakamata nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), na wamekuwa wakipata matokeo ya kuchanganya katika mechi zao kadhaa za mwisho.
Mwishoni mwa wiki, majabali hao wa Etihad walitoka sare ya 1-1 na Nottingham Forest ambayo ni miongoni mwa timu limbukeni kwenye ligi hiyo.
Timu hizo zimekutana mara mbili katika michuano hii ya bara, huku mabao 12 yakifungwa, kila moja ikishinda mara moja.
RB Leipzig imecheza mara tatu dhidi ya timu za Uingereza katika mechi hizi za UEFA, raundi ya 16 bora.
Manchester Metropolis imeshindwa mara moja tu na timu ya Ujerumani katika mechi 17 na kufunga jumla ya mabao 44 katika mechi hizo.
Baada ya kushinda mechi tatu za maondoano katika michuano ya UEFA, RB Leipzig imeshindwa katika mechi tatu za mwisho bila kufunga bao.
Isitoshe, Guardiola ni miongoni mwa makocha walioongoza vikosi vyao katika mashindano haya ya UEFA, akijivunia ushindi mkubwa kwenye histori ya mashindano hayo.
Manchester Metropolis wana kikosi imara lakini kimekosa kudhihirisha uwezo wake msimu huu. Kiwango chao kimeshuka kwa sasa, lakini wana fursa ya kuibuka tena leo usiku.
RB Leipzig wanaweza kushangaza wengi baada ya kudhihirisha uwezo wao hapo wali katika misimu iliyopita, hasa watakapokuwa nyumbani mbele ya mashabiki wao.
Baada ya kupoteza mechi mbili za makundi kwa Shakhtar Donetsk na Actual Madrid, RB Leipzig walirejea kwa makali na kushinda mechi nne, ukiwemo ushindi wa 3-2 dhidi ya Madrid na kufuzu baada ya kumaliza katika nafasi ya pili katika Kundi F.
Matokeo hayo mazuri yalipatikana kati ya Oktoba 1 na Februari 11, kabla ya kushindwa 2-1 na Union Berlin kwenye ligi kuu ya Bundesliga, lakini ushindi wao wa 3-0 dhidi ya Wolsburg unawapa matukmaini mashabiki wao wanaotarajiwa kujazana uwanjanikutazama mechi ya leo.
Kwa upande mwingine, kikosi cha Guardiola kimeshindwa kuvuma katika mechi tano za ugenini katika mashindano tofauti, wakipoteza pointi saba katika mechi hizo.
Hii itakuwa mara ya 10 mfululizo, baada ya kumaliza katika nafasi ya kwanza katika Kundi G mbele ya Borussia Dortmund, Seville na Copenhagen.
Source link