Monday, February 27, 2023
AdvertismentGoogle search engineGoogle search engine
HomeGeneral NewsRuto asukuma magavana kufadhili miradi – Taifa Leo

Ruto asukuma magavana kufadhili miradi – Taifa Leo

Ruto asukuma magavana kufadhili miradi

Ruto asukuma magavana kufadhili miradi

NA VALENTINE OBARA

MAGAVANA watalazimika kutenga fedha zaidi za maendeleo iwapo wangependa serikali ya kitaifa isaidie kufanikisha miradi ya kaunti zao.

Alipokuwa Lamu wikendi, Rais William Ruto (pichani), alisema alikutana na magavana wa kaunti za Pwani wakakubaliana serikali ya kitaifa itakuwa ikiongeza fedha pale ambapo kaunti imewekeza kwa maendeleo.

Kaunti nyingi zimekuwa zikilaumiwa kwa kutumia kiasi kikubwa cha fedha kugharimia mishahara na mahitaji mengine, tofauti na ufadhili wa miradi ya maendeleo.


Source link

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -spot_img

Most Popular

Home
News
RSS